Kuna manunguniko kuwa waziri wa mambo ya nje Bernard Membe ana mkonp katyi akufungwa kwa Jambo Forums. Je hili lina ukweli kwa kiasi gani?
Kuna watu wanasema kuwa waziri huyu ambaye ana sifa za hasira amekuwa akilalama jinsi gani alivyohusishwa na maneno ambayo hatuna ukweli nayo kuwa anagombania tenda ya vitambulisho vya Taifa na Sumaye.Je kuna ukweli gani kwenye hili?
Kwa nini website ifungwe baada ya wazalendo kumvalia njuga waziri huyu na rafikiyake bwana MWIKALO??

No Comments Yet